Engie

  • Open Jobs – 1

About Company

ENGIE Energy Access Tanzania inatoa huduma za mitambo ya umeme wa jua yenye uwezo wa kuwasha taa, kuchaji simu, runinga, redio na kadhalika. Malipo ni ya mfumo rahisi kabisa wa kulipia kwa awamu kupitia mitandao ya simu (Vodacom, Airtel, Tigo au Halotel). Tunawawezesha wale wanaotafuta nishati safi, wasio kwenye gridi ya taifa kupata umeme na mikopo mingine yenye manufa katika maisha ya wateja wetu.

Reviews

0/5

Not rated
From 0 review
You must to write review